Dk. Ashatu Kijaji...Naibu Waziri wa Fedha na Mipango
Kwetu Mbamba-bay
Kwa habari mbalimbali za kijamii, michezo na burudani
http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo
Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594
Ijumaa, 20 Aprili 2018
DODOMA/SERIKALI
YAFAFANUA TRIL.1.5
Shughuli
za mkutano wa kumi na moja na kikao cha kumi na nne cha Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania zimelazimika kusitishwa katika kipindi cha maswali na majibu
ili kuiwezesha serikali kutoa ufafanuzi kuhusu tuhuma za upotevu wa fedha
za serikali shilingi trilioni 1.5 ambazo kwenye taarifa ya mdhibiti na mkaguzi
mkuu wa hesabu za serikali CAG ilionyesha hazijulikani zimefanya matumizi gani.
Naibu
waziri wa fedha na mipango, Dk. Ashatu Kijaji, akitoa ufafanuzi bungeni mjini
Dodoma, amesema hakuna fedha za serikali ambazo zimezopotea wala kutumika
kinyume na matumizi yaliyoidhinishwa na bunge.
Amesema
fedha hizo ambazo taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ya
mwaka 2016/2017 iliyoishia june 30, mwaka jana na kuwasilishwa bungeni imeonyesha
serikali ilikusanya shilingi trilioni 25.3 lakini trilioni 23.8 ndizo
zilitolewa kwa ajili ya mishahara ya watumishi matumizi mengine matumizi ya
maendeleo na kulipa madeni yatokanayo na amana za serikali na riba na shilingi
trilioni 1.5 trilioni zilizobaki hazikujulikani zimeenda wapi.
Aidha
naibu waziri amefafanua zaidi kuwa matumizi ya fedha hizo yalikuwa bado
hayajahamishwa wakati ukaguzi wa CAG ukiendelea.
Fedha
ambazo zinadaiwa kupotea ni sawa na asilimia 6 ya fedha zote zilizokusanywa
kama mapato ya serikali kwa mwaka 2016/2017.
Mwisho
Jumatatu, 28 Machi 2016
Rose Muhando ‘amkwaza’ Alex Msama
Rose Muhando- Muimbaji wa Injili
MUIMBAJI mahiri wa nyimbo za Injili
nchini na Afrika Mashariki, Rose Muhando, amemkwaza mkurugenzi wa
kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama, kwa kushindwa kuhudhuria Tamasha la Pasaka
katika mikoa ya Geita, Mwanza na Kahama mkoani Shinyanga.
Msama akizungumza na Kwetu Mbamba- bay, amesema kwa sasa hataki kufanya kazi na muimbaji huyo na hivyo kuamua kufuta mkataba naye.Amesema anashangazwa na tabia ya Rose kutokana na kumlipa kwa ajili ya tamasha hilo na pia kumtumia gari la kumfuata nyumbani kwake Dodoma, lakini ameshindwa kutokea.
Alex Msama- Mkurugenzi Msama Promotions
Hata hivyo, Muhando alipotafutwa ili kuelezea jinsi alivyomzingua Msama katika tamasha hilo, simu yake ya mkononi haikuwa hewani kwa muda mrefu.
Mwisho
Jumatatu, 20 Oktoba 2014
SNP GWAJIMA: IBADA YA JUMAPILI SOMO: SHERIA MBILI ZA ROHONI
SOMO: SHERIA MBILI ZA ROHONI
TAREHE: 19/10/2014
NA MCHUNGAJI KIONGOZI: JOSEPHAT GWAJIMA
Kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili. Mtu anapofanikiwa rohoni baadae anafanikiwa mwilini. Inaweza kuwa magonjwa au ukawa na matatizo yakikutokea mwilini jua kuwa yameanzia rohoni. Unapoanza kuomba na kushambulia lazima utambue kuwa unashindana na ulimwengu wa roho.Imeandikwa;
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Waefeso 6:12
Kumbe kabla ya kubarikiwa lazima ubarikiwe rohoni. Tukizungumzia miji ya kiroho, inamaana kwamba ulimwengu wa roho ni sawa na miji unayoiona hapa duniani. Ukiona watu wanajua maneno au mistari ya biblia yote, sio ishara ya kuwa yeye anauwezo wa kuyajua yote na namna ya kushindana. Mungu ni roho, hivyo lazima tumwabudu katika roho. Imeandikwa.
Lakini Yesu hakujiaminisha kwao; kwa kuwa yeye aliwajua wote; Yohane2:24
Viumbe katika ulimwengu wa roho mfano, Mungu, malaika, mashetani
Viumbe wa kimwili ni kama wanadamu, kuku, simba, miti
Katika ulimwengu wa roho, kuna sheria mbili zinazouongoza. Mambo yote huanzia katika ulimwengu wa roho, hasa katika ndoto. Zipo sheria 2, zinazoongoza ulimwengu wa roho.
1. KUBADILIKA UMBO NA KUVAA UMBO LOLOTE
Ili mashetani ambao ni wachawi ili waweze kwenda kuroga lazima watoke ndani ya miili yao na kuvaa umbo jingine. Kwa kuwa anakuwa rohoni anaweza kuvaa umbo lolote, na kugeuka kuwa kitu chochote. Mfano, paka, mbwa, kunguru. Lakini wachawi wanaposikia hukutambua kuwa ni wachawi wanafurahi sana. Imeandikwa; Marko 16:12
12 Baada ya hayo akawatokea watu wawili miongoni mwao, ana sura nyingine; nao walikuwa wakishika njia kwenda shamba.
Yesu aliwatokea wanafunzi wake akiwa na sura nyingine, lakini kwa kuwa alikuwa rohoni, alionekana kuwa na sura nyingine. Yesu anasura nyingine, kama umezoea kumuona daktari leo anasura nyingine, akitaka kukutokea kama mmea natakutokea kama ua la sharoni, au mzee wa siku, lazima utambue kuwa laizima atokee kwa sura nyingine.
Ukiri; leo katika jina la yesu yesu akutokee kwa sura nyingine, kama umezoa yesu ni mponyaji tu leo anasura nyingine, ni mfariji, ni mfalme wa wafalme, ni mwamba wa kale. Leo lazima yesu atokee kwa sura nyingine sawa na tatizo ulilonalo. Amen.
Yesu aliamua kubadili sura lakini wanafunzi wake walijua ni yeye. Kila unapoongezeka kila hatua unaongeza marafi unaongeza maadui pia. Lakini kama ulikuwa umezoea kutembea kama chura tambua kuwa unatakiwa kuruka juu kama tai. Imeandikwa;……………………………. Yohana20;15
15 Yesu akamwambia, Mama, unalilia nini? Unamtafuta nani? Naye, huku akidhania ya kuwa ni mtunza bustani, akamwambia, Bwana, ikiwa umemchukua wewe, uniambie ulipomweka, nami nitamwondoa.
Nirahisi sana watu kukuamini lakini mtu aliyekuzoea hawezi kukuamini kirahisi, ndiyo maana Yesu alimtokea mama yake kwa sura nyingine kama mtunza bustani, ili aweze kumwamini. Watu wamemzoea yesu wa kuponya magonjwa tu lakini yesu anatokea kwa sura nyingine ili mambo yaweze kutokea na kumwamini.
Hivyo ili uweze kufanya ya rohoni lazima uvae sura nyingine. Imeandikwa; ufunuo 1:9
9 Mimi Yohana, ndugu yenu na mwenye kushiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na subira ya Yesu Kristo, nalikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili ya Neno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu.
10 Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,
Roho inaweza kuvaa sura yoyote ndiyo maana Yesu alimtokea Yohane katika sura nyingine kwenye kisiwa cha Patmo.. Imeandikwa;
Bwana akamtokea Ibrahimu karibu na mialoni ya Mamre, alipokuwa ameketi mlangoni pa hema yake mchana wakati wa hari. Akainua macho yake akaona, na tazama, watu watatu wamesimama mbele yake. Naye alipowaona alipiga mbio kuwalaki kutoka mlangoni pa hema, akainama mpaka nchi, Mwanzo18; 1-2
Kumbe roho inaweza kugeuka na kuwa kitu chochote, na kufanaya kazi kama wanadamu. Imeandikwa;
Huwafanya malaika zake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa moto wa miali. zaburi 104:4
Ukishaona matukio kama hayo unahisi ni upepo kumbe kuna watu ndani ya upepo. Unaweza kuona upepo unakuja ukahisi ni upepo kumbe ni mjomba au bibi yuko ndani ya upepo. Lazima utambue kuwa kuna upepo unaosumbua hali ya maisha yako ndo maana unaona taabu na misukosuko.
Yesu alisema na tuvuke ng’ambo ya pili lakini shetani aliyajua hayo na kutikisa chombo. Tambua hata wewe kwenye maisha yako ukiona umepanga kufanya jambo lolote la maendeleo na mara gafla matatizo yanaanza usikubali pigana maana ni upepo huo umetengenezwa ili usifike unakoenda au usifanye unachotaka kufanya. Imeandikwa;
Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi; na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.
12 Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao. Kutoka 7; 11-12
UKIRI
Kuanzia leo kila atakae jigeuza kwa sura yoyote nitamuona kwa Jina la Yesu.
Haimanishi kuwa mashetani wanaouwezo wa kutengeneza chura, au nyoka au fimbo ila tu waliweza kunuizia kitu kikageuka na kutimiza lengo. Malaika anaweza kufanya vile hata mashetani wanaweza kuvaa sura na maumbo ya kitu na kutimiza kusudi. Imeandikwa;
Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.2Wakoritho 11:14
AINA NNE ZA MASHETANI
1. Majoka amabao ni roho ya uovu walioanguka kutoka mbinguni baada ya uasi. Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; Ufunuo 12;7
2. Mizimu. Haya ni mashetani waliotawala ukoo kwa muda mrefu.
3. Miungu. Ni mashetani waliopewa makafara kwa muda mrefu na wakapewa nguvu na kuwa miungu
4. Majini. Hawa nai mashetani wenye asili ya kiarabu.
Imeandikwa;
Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha yule joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo. Ufunuo 16:13
Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza; Ufunuo 18:2
Nguvu kubwa ya mashetani ni ule uwezo wa kutowatambua. Wanapotoka ndani huwa wananuiza na kuvaa maumbo bandia. Wachawi nao huwa wanasikiliza kama umewatambua, wakiona umeona visivyo wanafurahi maana wanajua kuna biashara inaendelea na wamefanikiwa.
Ukiri.
Kuanzia leo lazima kila atakekuja kuniroga nitamuona kwa jina la Yesu.Kila aliyegeuza umbo naamuru nimuone katika umbo lake la siri.
Watu wengine wanajisikia kama wana misumari ndani ya miili yao lakini jambo amabalo hukulijua kama limetengenezwa an kugeuka kuwa kisu ndani ya miili yao. Ukiona nchi inayumbayumba lazima ujue kuna chanzo chake kiko katika ulimwengu wa roho. Ukishinda rohoni unaweza kuua kwa siraha isiyorasmi .
Yawezekana umeumwa sana na hujui namna ya kutatua tatizo ulilonalo.Imeandikwa;
Inawezekana, unajisikia hali mbaya hasa ya kumtukana mume wako, au mke wako lakini kwa akili zako huwezi kusema vile, lakini ukajikuta unasema vile. Kimsingi kuna viumbe wa rohoni wanakaa ndani yako ndo maana wakati mwingine unajikuta umeshatukana.
Inawezekana, unaona uso wako unaweka makeup, lakini sura iko kama babu, jambo usilolijua ni kuwa yuko aliyetumwa na kugeuka na kuwa babu.
MAOMBI
jini, joka, mzimu, aliyegeuka umbo na kuja kwangu, lazima nikuone katika jina la yesu.nina waamuru wapigwe katiak jina la yesu.Mimi ni askari naangusha ngome za balaa, ngome za mikosi, ngome za magonjwa katika jina la Yesu. Mimi nakataa kutawaliwa katika jina la yesu.
Kuanzia sasa roho yoyote iliyogeuka na kuwa balaa, talaka, mikosi, magonjwa, naivunja katika jina la yesu. Kwa jina la yesu kuanzia leo chochote kilichotumwa, nilichikinunua, nakiangamiza katika jin layesu. Kitu chochote, au roho yoyote, iliyondani ya nyumba yangu naivunja, na irudisha ilikotoka katika jina la Yesu.
Kwa jina la yesu,
2. UNAMFUMBA MTU ASIKUTAMBUE.
Katika sheria mbili za rohoni pili ni kukufumba usimtambue, na wewe ukiona unahisi ni vitu hivyo ulivyoviona kwa macho au katika ndoto. Akili ya mtu akifungwa mtu akiona hatambui kama ni wachawi au mashetani. Yawezeka kila ukilala na kuota ndoto ukiamka unaanza kusema uliyoyaota ambayo yako katika sura bandia. Inatakiwa uwafunge ili wasijifiche wakija uwatambuae katika jina la Yesu. Omba maombi haya kwa jina la Yesu. Maana imeandikwa Imeandikwa ;
Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya Yohana 14:13-14
MAOMBI
Katika jina la yesu namteketeza mtu yeyote aliyejigeuza sura ili anitese namfyeka katika jina la yesu.
Kila atakaekuja katika umbo lolote lazima nimjue katika jina la Yesu, ninawafunga wasinitambue kama nimewaona. Kuanzia leo naamka toka usingizi wa kiroho, na akili yangu iwaze kutawala, iwaze biashara katika jina la Yesu . Kuanzia leo naanza kutambua kazi yangu, nianze kuelewa kazi ya kufanya, biashara ya kufanya, katika jina la Yesu.
Nawashambulia mashetani wote katika jina la Yesu, mashetani walioshikiria familia yangu, kazi yangu, ndoa yangu, biashara yangu katika jina la Yesu nawaangamiza katika jina la Yesu. Nawaangamiza maadui wote katika jina la Yes. Natumia mamlaka aliyonipa Yesu nawafyeka wanaozuia kazi yangu nawafyeka wanaozuia ndoa yangu, nawafyeka wanaozuia huduma yangu, katika jina la Yesu. Nawashambulia kwa damu ya mwanakondoo.
Imeandikwa;
Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana. Isaya 54:17
Nawafyeka katika jina la Yesu, mtu yeyote aliyesimama kwenye njia zangu kunizuia nisifanikiwe, kuzuia nisisonge mbele kunizuia nisipate ajira, nafunga uwezo wako wa kujigeuza na kuwa balaa, nakujigeuza kuwa mikosi, kuwa matatizo ,kuwa mtego na balaa, nawashambulia katika jina la Yesu.
Naharibu uwezo wenu katika jina la Yesu, ng’oa madhabahu zenu katika jina la Yesu. Nawatiisha, na kata mamlaka zenu, kaila kiumbe kinachotumia mazira kuharibu maisha yangu nawashambulia katila jina la Yesu. Naaribu uweza wenu wote katika jina la Yesu.
Natangua yote uliyoyapanga katika jina la Yesu. Imeandikwa; yeye uyatangua mashauri ya wadanganyifu na mikono yao isipate kutimiza makusudi yao.
Kila vibarua wa shetani mnaovaa sura bandia nawaangamiza katika jina la Yesu, navunja kila laana ya familia iliyonipata kupitia viumbe wa rohoni mnaojibadilisha sura na kuniroga nawafyeka katika jina la Yesu.
Kila nguvu ya giza inayotawala nailaani katika jina la Yesu, kila balaa zinazotawala nazivunja katika jina la Yesu. Nakiri leo niko huru, kazi yangu iko huru katiaka jina la Yesu. AMEN
Inua mikono juu; na ukiri maneno haya kwa nguvu
Kila jini aliye ndani yangu uliyeingia ili mimi nisiolewe, ili uniletee balaa, imeandikwa lolote mtakalolifunga hapa duniani , litafungwa na mbinguni ewe jini uliyetumwa ofisini kutoka kijijini, nakuapisha dhihirika na ujulikane kwa jina la Yesu. Jini makata, jini wa hasira, jini wa mikosi, kila aliyerogwa kwa kuwekewa dawa kwenye tumbo la uzazi, kwenye maji ya kuoga, kwenye chakula, kwenye kitanda, kwenye nguo, kwenye damu wakati wa siku zangu naamuru moto ndani yangu ukuunguze na unitoke katika jina la Yesu.
-----------------------------------AMEN---------------------------------------------
TAREHE: 19/10/2014
NA MCHUNGAJI KIONGOZI: JOSEPHAT GWAJIMA
Kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili. Mtu anapofanikiwa rohoni baadae anafanikiwa mwilini. Inaweza kuwa magonjwa au ukawa na matatizo yakikutokea mwilini jua kuwa yameanzia rohoni. Unapoanza kuomba na kushambulia lazima utambue kuwa unashindana na ulimwengu wa roho.Imeandikwa;
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Waefeso 6:12
Kumbe kabla ya kubarikiwa lazima ubarikiwe rohoni. Tukizungumzia miji ya kiroho, inamaana kwamba ulimwengu wa roho ni sawa na miji unayoiona hapa duniani. Ukiona watu wanajua maneno au mistari ya biblia yote, sio ishara ya kuwa yeye anauwezo wa kuyajua yote na namna ya kushindana. Mungu ni roho, hivyo lazima tumwabudu katika roho. Imeandikwa.
Lakini Yesu hakujiaminisha kwao; kwa kuwa yeye aliwajua wote; Yohane2:24
Viumbe katika ulimwengu wa roho mfano, Mungu, malaika, mashetani
Viumbe wa kimwili ni kama wanadamu, kuku, simba, miti
Katika ulimwengu wa roho, kuna sheria mbili zinazouongoza. Mambo yote huanzia katika ulimwengu wa roho, hasa katika ndoto. Zipo sheria 2, zinazoongoza ulimwengu wa roho.
1. KUBADILIKA UMBO NA KUVAA UMBO LOLOTE
Ili mashetani ambao ni wachawi ili waweze kwenda kuroga lazima watoke ndani ya miili yao na kuvaa umbo jingine. Kwa kuwa anakuwa rohoni anaweza kuvaa umbo lolote, na kugeuka kuwa kitu chochote. Mfano, paka, mbwa, kunguru. Lakini wachawi wanaposikia hukutambua kuwa ni wachawi wanafurahi sana. Imeandikwa; Marko 16:12
12 Baada ya hayo akawatokea watu wawili miongoni mwao, ana sura nyingine; nao walikuwa wakishika njia kwenda shamba.
Yesu aliwatokea wanafunzi wake akiwa na sura nyingine, lakini kwa kuwa alikuwa rohoni, alionekana kuwa na sura nyingine. Yesu anasura nyingine, kama umezoea kumuona daktari leo anasura nyingine, akitaka kukutokea kama mmea natakutokea kama ua la sharoni, au mzee wa siku, lazima utambue kuwa laizima atokee kwa sura nyingine.
Ukiri; leo katika jina la yesu yesu akutokee kwa sura nyingine, kama umezoa yesu ni mponyaji tu leo anasura nyingine, ni mfariji, ni mfalme wa wafalme, ni mwamba wa kale. Leo lazima yesu atokee kwa sura nyingine sawa na tatizo ulilonalo. Amen.
Yesu aliamua kubadili sura lakini wanafunzi wake walijua ni yeye. Kila unapoongezeka kila hatua unaongeza marafi unaongeza maadui pia. Lakini kama ulikuwa umezoea kutembea kama chura tambua kuwa unatakiwa kuruka juu kama tai. Imeandikwa;……………………………. Yohana20;15
15 Yesu akamwambia, Mama, unalilia nini? Unamtafuta nani? Naye, huku akidhania ya kuwa ni mtunza bustani, akamwambia, Bwana, ikiwa umemchukua wewe, uniambie ulipomweka, nami nitamwondoa.
Nirahisi sana watu kukuamini lakini mtu aliyekuzoea hawezi kukuamini kirahisi, ndiyo maana Yesu alimtokea mama yake kwa sura nyingine kama mtunza bustani, ili aweze kumwamini. Watu wamemzoea yesu wa kuponya magonjwa tu lakini yesu anatokea kwa sura nyingine ili mambo yaweze kutokea na kumwamini.
Hivyo ili uweze kufanya ya rohoni lazima uvae sura nyingine. Imeandikwa; ufunuo 1:9
9 Mimi Yohana, ndugu yenu na mwenye kushiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na subira ya Yesu Kristo, nalikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili ya Neno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu.
10 Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,
Roho inaweza kuvaa sura yoyote ndiyo maana Yesu alimtokea Yohane katika sura nyingine kwenye kisiwa cha Patmo.. Imeandikwa;
Bwana akamtokea Ibrahimu karibu na mialoni ya Mamre, alipokuwa ameketi mlangoni pa hema yake mchana wakati wa hari. Akainua macho yake akaona, na tazama, watu watatu wamesimama mbele yake. Naye alipowaona alipiga mbio kuwalaki kutoka mlangoni pa hema, akainama mpaka nchi, Mwanzo18; 1-2
Kumbe roho inaweza kugeuka na kuwa kitu chochote, na kufanaya kazi kama wanadamu. Imeandikwa;
Huwafanya malaika zake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa moto wa miali. zaburi 104:4
Ukishaona matukio kama hayo unahisi ni upepo kumbe kuna watu ndani ya upepo. Unaweza kuona upepo unakuja ukahisi ni upepo kumbe ni mjomba au bibi yuko ndani ya upepo. Lazima utambue kuwa kuna upepo unaosumbua hali ya maisha yako ndo maana unaona taabu na misukosuko.
Yesu alisema na tuvuke ng’ambo ya pili lakini shetani aliyajua hayo na kutikisa chombo. Tambua hata wewe kwenye maisha yako ukiona umepanga kufanya jambo lolote la maendeleo na mara gafla matatizo yanaanza usikubali pigana maana ni upepo huo umetengenezwa ili usifike unakoenda au usifanye unachotaka kufanya. Imeandikwa;
Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi; na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.
12 Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao. Kutoka 7; 11-12
UKIRI
Kuanzia leo kila atakae jigeuza kwa sura yoyote nitamuona kwa Jina la Yesu.
Haimanishi kuwa mashetani wanaouwezo wa kutengeneza chura, au nyoka au fimbo ila tu waliweza kunuizia kitu kikageuka na kutimiza lengo. Malaika anaweza kufanya vile hata mashetani wanaweza kuvaa sura na maumbo ya kitu na kutimiza kusudi. Imeandikwa;
Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.2Wakoritho 11:14
AINA NNE ZA MASHETANI
1. Majoka amabao ni roho ya uovu walioanguka kutoka mbinguni baada ya uasi. Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; Ufunuo 12;7
2. Mizimu. Haya ni mashetani waliotawala ukoo kwa muda mrefu.
3. Miungu. Ni mashetani waliopewa makafara kwa muda mrefu na wakapewa nguvu na kuwa miungu
4. Majini. Hawa nai mashetani wenye asili ya kiarabu.
Imeandikwa;
Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha yule joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo. Ufunuo 16:13
Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza; Ufunuo 18:2
Nguvu kubwa ya mashetani ni ule uwezo wa kutowatambua. Wanapotoka ndani huwa wananuiza na kuvaa maumbo bandia. Wachawi nao huwa wanasikiliza kama umewatambua, wakiona umeona visivyo wanafurahi maana wanajua kuna biashara inaendelea na wamefanikiwa.
Ukiri.
Kuanzia leo lazima kila atakekuja kuniroga nitamuona kwa jina la Yesu.Kila aliyegeuza umbo naamuru nimuone katika umbo lake la siri.
Watu wengine wanajisikia kama wana misumari ndani ya miili yao lakini jambo amabalo hukulijua kama limetengenezwa an kugeuka kuwa kisu ndani ya miili yao. Ukiona nchi inayumbayumba lazima ujue kuna chanzo chake kiko katika ulimwengu wa roho. Ukishinda rohoni unaweza kuua kwa siraha isiyorasmi .
Yawezekana umeumwa sana na hujui namna ya kutatua tatizo ulilonalo.Imeandikwa;
Inawezekana, unajisikia hali mbaya hasa ya kumtukana mume wako, au mke wako lakini kwa akili zako huwezi kusema vile, lakini ukajikuta unasema vile. Kimsingi kuna viumbe wa rohoni wanakaa ndani yako ndo maana wakati mwingine unajikuta umeshatukana.
Inawezekana, unaona uso wako unaweka makeup, lakini sura iko kama babu, jambo usilolijua ni kuwa yuko aliyetumwa na kugeuka na kuwa babu.
MAOMBI
jini, joka, mzimu, aliyegeuka umbo na kuja kwangu, lazima nikuone katika jina la yesu.nina waamuru wapigwe katiak jina la yesu.Mimi ni askari naangusha ngome za balaa, ngome za mikosi, ngome za magonjwa katika jina la Yesu. Mimi nakataa kutawaliwa katika jina la yesu.
Kuanzia sasa roho yoyote iliyogeuka na kuwa balaa, talaka, mikosi, magonjwa, naivunja katika jina la yesu. Kwa jina la yesu kuanzia leo chochote kilichotumwa, nilichikinunua, nakiangamiza katika jin layesu. Kitu chochote, au roho yoyote, iliyondani ya nyumba yangu naivunja, na irudisha ilikotoka katika jina la Yesu.
Kwa jina la yesu,
2. UNAMFUMBA MTU ASIKUTAMBUE.
Katika sheria mbili za rohoni pili ni kukufumba usimtambue, na wewe ukiona unahisi ni vitu hivyo ulivyoviona kwa macho au katika ndoto. Akili ya mtu akifungwa mtu akiona hatambui kama ni wachawi au mashetani. Yawezeka kila ukilala na kuota ndoto ukiamka unaanza kusema uliyoyaota ambayo yako katika sura bandia. Inatakiwa uwafunge ili wasijifiche wakija uwatambuae katika jina la Yesu. Omba maombi haya kwa jina la Yesu. Maana imeandikwa Imeandikwa ;
Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya Yohana 14:13-14
MAOMBI
Katika jina la yesu namteketeza mtu yeyote aliyejigeuza sura ili anitese namfyeka katika jina la yesu.
Kila atakaekuja katika umbo lolote lazima nimjue katika jina la Yesu, ninawafunga wasinitambue kama nimewaona. Kuanzia leo naamka toka usingizi wa kiroho, na akili yangu iwaze kutawala, iwaze biashara katika jina la Yesu . Kuanzia leo naanza kutambua kazi yangu, nianze kuelewa kazi ya kufanya, biashara ya kufanya, katika jina la Yesu.
Nawashambulia mashetani wote katika jina la Yesu, mashetani walioshikiria familia yangu, kazi yangu, ndoa yangu, biashara yangu katika jina la Yesu nawaangamiza katika jina la Yesu. Nawaangamiza maadui wote katika jina la Yes. Natumia mamlaka aliyonipa Yesu nawafyeka wanaozuia kazi yangu nawafyeka wanaozuia ndoa yangu, nawafyeka wanaozuia huduma yangu, katika jina la Yesu. Nawashambulia kwa damu ya mwanakondoo.
Imeandikwa;
Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana. Isaya 54:17
Nawafyeka katika jina la Yesu, mtu yeyote aliyesimama kwenye njia zangu kunizuia nisifanikiwe, kuzuia nisisonge mbele kunizuia nisipate ajira, nafunga uwezo wako wa kujigeuza na kuwa balaa, nakujigeuza kuwa mikosi, kuwa matatizo ,kuwa mtego na balaa, nawashambulia katika jina la Yesu.
Naharibu uwezo wenu katika jina la Yesu, ng’oa madhabahu zenu katika jina la Yesu. Nawatiisha, na kata mamlaka zenu, kaila kiumbe kinachotumia mazira kuharibu maisha yangu nawashambulia katila jina la Yesu. Naaribu uweza wenu wote katika jina la Yesu.
Natangua yote uliyoyapanga katika jina la Yesu. Imeandikwa; yeye uyatangua mashauri ya wadanganyifu na mikono yao isipate kutimiza makusudi yao.
Kila vibarua wa shetani mnaovaa sura bandia nawaangamiza katika jina la Yesu, navunja kila laana ya familia iliyonipata kupitia viumbe wa rohoni mnaojibadilisha sura na kuniroga nawafyeka katika jina la Yesu.
Kila nguvu ya giza inayotawala nailaani katika jina la Yesu, kila balaa zinazotawala nazivunja katika jina la Yesu. Nakiri leo niko huru, kazi yangu iko huru katiaka jina la Yesu. AMEN
Inua mikono juu; na ukiri maneno haya kwa nguvu
Kila jini aliye ndani yangu uliyeingia ili mimi nisiolewe, ili uniletee balaa, imeandikwa lolote mtakalolifunga hapa duniani , litafungwa na mbinguni ewe jini uliyetumwa ofisini kutoka kijijini, nakuapisha dhihirika na ujulikane kwa jina la Yesu. Jini makata, jini wa hasira, jini wa mikosi, kila aliyerogwa kwa kuwekewa dawa kwenye tumbo la uzazi, kwenye maji ya kuoga, kwenye chakula, kwenye kitanda, kwenye nguo, kwenye damu wakati wa siku zangu naamuru moto ndani yangu ukuunguze na unitoke katika jina la Yesu.
-----------------------------------AMEN---------------------------------------------
Jumatatu, 13 Oktoba 2014
MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA-
IBADA
YA JUMAPILI YA TAREHE 12/10/2014
MCHUNGAJI
JOSEPHAT GWAJIMA
SOMO:
HAIKUWA HIVYO TANGU ZAMANI
Utangulizi
Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima |
Kanisa leo
limefanywa kuwa mahali pa kukutania baada ya uchovu wa wiki nzima. Lakini haikuwa
hivyo tangu zamani; kanisa lilianzishwa kama mahali pa kutatua matatizo
yaliyoshindikana ndani ya wiki nzima.
“Kwa
maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa
Mungu.Kwa maana viumbe vyote pia vilitiishwa chini ya ubatili; si kwa hiari yake, ila kwa sababu yake yeye aliyevitiisha katika tumaini;
Kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na kutolewa katika utumwa wa uharibifu, hata viingie katika uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.
Kwa maana twajua ya kuwa viumbe vyote pia vinaugua pamoja, navyo vina utungu pamoja hata sasa.” Warumi 8:19-22
Kumbe kuna viumbe ambavyo vimebebeshwa utumwa wa
aina fulani ambavyo vinategemea kuwekwa huru.
Ulimwengu
tunaouendea utakuwa ni ulimwengu ambao sio wa kushinda kwa sababu ndugu yako ni
mbunge, waziri ama raisi, bali utakuwa ni ulimwengu wa kushinda mambo yote kwa
imani. Tunakiendea kizazi ambacho mwenye haki ataishi kwa imani.
“Mungu
akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha;
mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai
kiendacho juu ya nchi.” Mwanzo1:28
Haya ni mamlaka ambayo Mungu alimpa mwanadamu zamani
sana kabla nyumba hazijajengwa, kabla
mavazi hayajaanza kutengenezwa. Kwanza ni kuzaa na kuongezeka iwe mwilini
au rohoni. Pili ni kutiisha kila kitu kwenye nchi; mapori, majangwa, milima.
Tatu, kutawala kila kitu angani, baharini na nchi kavu. Hivi ndivyo ilivyokuwa
tangu mwanzo, asili yetu kama wana wa Mungu ni kutawala sio kutawaliwa. Lakini
leo wana wa Mungu wamekuwa watu wakuogopaogopa; sivyo ilivyokuwa. Tuliumbwa kutiisha
na kutawala angani, baharini na kwenye nchi.Mungu ni Mungu wa kusema. Kabla hajatenda huwa anaongea kwanza. Ndio maana biblia nzima imejaa ahadi za Mungu, anasema atatubariki, atatuinua. Hivyo inatupasa na sisi kuongea na kuikiri asili yetu. Tunatawala kwa mujibu wa sheria ya kitabu cha Mwanzo ibara ya kwanza kifungu cha ishirini na nane. Biblia ni sheria ya Bwana wa Majeshi na sheria hii haiwezi kubadilika kizazi hata kizazi.
Kwa asili ya mwanadamu alitakiwa atawale majini,
angani na katika nchi. Shetani alipoona mwanadamu amepewa mamlaka hiyo
akamfuata Adamu ili aibe mamlaka hiyo. Kwa kuwa sisi nasi tulikuwa katika viuno
vya Adamu wakati anatenda dhambi iliyomgharimu mamlaka yake tumehesabiwa dhambi
kutoka kwake..
“Nanyi
mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;Ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi;
Ambao
zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tama za miili yetu,
tulipoyatimiza mapenzi ya mwili nay a nia, tukawa kwa tabi yetu watoto wa
hasira kama na hao wengine” Waefeso 2:1-3
Ndio maana leo shetani anaitwa mkuu wa anga. Kabla
ya Adamu na Eva hawajatenda dhambi walikuwa wanatiisha anga, nchi na bahari. Walipokosea
walipoteza mamlaka yao ambayo ilichukuliwa na shetani. Shetani aliichukua anga
na kuitawala ndio maana akaitwa mfalme wa anga. “Nao wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hwakupenda maisha yao hata kufa.
Kwa hiyo shangilieni enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wan chi na bahari! Kwa maana yule ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache.” Ufunuo12:11-2
Adamu alikuwa anamiliki anga, bahari na nchi. Shetani alipofanikiwa kumtoa Adam, akafanikiwa kumiliki vyote alivyokuwa anamiliki. Ndio maana sasa kuzimu ina sehemu kuu tatu; angani, baharini na kwenye nchi.
Kama wana wa Mungu ambao tunatakiwa kuishi kwa
imani ili kumpendeza Mungu; kutamka,
kusema na kukiri ahadi za Mungu kabla hazijawa bayana katika ulimwengu wa mwili
ni sehemu ya maisha yetu. Tamka kwa bidii yaliyomo ndani ya moyo wako kwa maana
uweza wa uzima na mauti u ndani ya kinywa chako. Hii ndiyo imani itupasayo
kuishi kwayo. Imani ina viwango vinne;
Ø Unachowaza
Awazavyo mtu moyoni mwake ndivyo alivyo. Ni muhimu
kujua namna ya kuyatiisha mawazo yako ili yawe sawasawa na namna ambavyo Mungu
anawaza kuhusu wewe.
Ø Unachosema
Chochote uwazacho
baada ya muda fulani utakikiri kwa kuwa hii ndiyo asili yetu kutoka kwa Mungu;
kusema kabla jambo halijatokea.
Ø Unachotenda
Ukishawaza na kukiri
ni lazima uanze kutenda kuelekea kwenye lile jambo ambalo unaloliamini.
Ø Tendo
la Imani
Hili ni tendo ambalo
unatenda ambalo huwa ni kinyume na hali halisi ya mambo katika ulimwengu wa
mwili. Pasipo Imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Mungu ni Mungu wa makusudi, hivyo lazima ufahamu kusudi lako katika maisha. Maendeleo hayaji kwa kuota utakuwa unatembea ukaokota mamilioni ya fedha halafu ukafanikiwa, mafanikio yoyote huja kwa hatua za kuhifadhi kidogokidogo kile ulicho nacho. Pale ambapo kusudi lisipofahamika matumizi mabaya lazima yatokee.
Hivyo shetani alipomtoa Adamu kwenye utawala akakaa yeye kuwa mtawala wa anga, nchi, bahari na vyote vilivyomo. Kabla Adamu hajatenda dhambi, akiwa bado ni mtawala; sisi tulikuwa ndani ya viuno vyake hivyo tulionja utawala huo. Baada ya shetani kuuchukua utawala kutoka kwetu, ana uwezo wa kuvitiisha viumbe vyote baharini, angani na kwenye nchi. Anayo mamlaka ya kuamuru viumbe kama bacteria, virusi , protozoa kuingia ndani ya miili ya wanadamu na kusababisha magonjwa au hata mauti. Leo dunia ina kila aina ya magonjwa na nyuma ya kila ugonjwa kuna kiumbe. Lakini viumbe hivi vimetiishwa kwa ubatili na yule aibaye ambaye ameiba mamlaka yetu. Haikuwa hivyo tangu zamani.
Mwanzoni Adamu hakuwa na magonjwa kabisa kwasababu alikuwa anatawala anga na viumbe vyake vyote, nchi na viumbe vyake vyote bahari na viumbe vyake vyote. Hivyo viumbe vyote vilikuwa chini ya utiisho wake. Hii ndiyo asili ya mwanzo ya mwanadamu.
Kwa nini leo kila janga kubwa linatokea Afrika? Vita vya kikabila, siasa mbovu, umaskini uliopitiliza, magonjwa ya ajabu; ukimwi unaua sana Afrika, ebola, mafua ya ndege, mafua ya nguruwe, dengue. Ni nini kinatokea? Shetani hawapendi waafrika kwa sababu anajua kutokea kwao ndipo utakapotokea ule uamsho wa siku za mwisho utakaogeuza tawala zote kuwa tawala za mwanakondoo. Imani bado ipo Afrika.
Tangu mwanzo shetani amekuwa akiona dalili za Afrika kuwa jeshi la mwisho la Mungu ndio maana anainua vita juu yake. Wana wa Israeli waliishi Afrika kwa miaka mia nne na thelathini utumwani Misri, miujiza mingi ilitokea Afrika kule Misri. Haitoshi alipozaliwa Yesu, malaika alimtokea Yusufu akamwambia amchukue Mariamu mkewe na mtoto Yesu na kuwapeleka katika nchi ya Misri. Wakati wa kubeba msalaba, ilipofika hatua Yesu hawezi kuubeba tena alitokea Simon mkrene (Krene ni Afrika mahali panapoitwa Libya leo.) akaubeba msalaba mpaka Kalvari. Hii ni kuonyesha kuwa injili ya siku za mwisho itabebwa na waafrika. Ndio maana biblia inasema kutakuwepo na madhabahu katika nchi ya Afrika ( Isaya 19:4) 4 Nami nitawatoa hao Wamisri na kuwatia katika mikono ya bwana mgumu; na mfalme mkali atawatawala; asema Bwana, Bwana wa majeshi.
Yesu alivyokuja duniani alikuja kuturudishia utawala wetu ulioibiwa na shetani. Basi kumbe leo shetani anatawala isivyo halali, sisi ndio watawala halali. Tunayo mamlaka ya kuvitiisha viumbe vyote viletavyo magonjwa kukaa nje ya mipaka ya Tanzania kwa jina la Yesu na vikatii.
Ebola ni mpango wa kuzimu, ni hukumu ya kifo kwa waafrika ili kuipunguza nguvu yetu. Na sisi kama watawala leo tumegundua asili yetu na hila ya yule alaye. Hivyo inatupasa kuchukua hatua kama watawala kutiisha, kumiliki na kutawala.
Maelfu ya watu wakiomba ndani ya bonde la kukata maneno |
MAOMBI.
Ninaamuru kama mtawala wa bakteria, virusi na
viumbe vyote wa magonjwa hamna uwezo juu yangu kwa jina la Yesu. Hamna mamlaka
juu ya Tanzania. Ninawatiisha viumbe wote wanaoonekana na wasioonekana
wasababishao magonjwa kwa jina la Yesu, hamtaingia ndani ya Tanzania kwa jina
la Yesu. Kwa mamlaka niliyonayo ninawafunga virusi wote wa
mafua ya ndege, virusi wa mafua ya nguruwe, ebola nje ya Tanzania kwa damu ya Yesu. Kemikali
zote, bakteria, protozoa wote ninawatiisha kwa damu ya Yesu Kristo. Kwa mamlaka
ya damu ya mwanakondoo, viumbe wote wa magonjwa ninaupiga ule uweza uliowekwa
ndani yenu juu ya Tanzania, juu ya Afrika, juu ya maisha yangu, juu ya familia
yangu; ninaamuru kuanzia sasa hamtaingia
ndani ya nchi ya Tanzania kwa jina la Yesu.Ninavimiliki
na kuvitiisha viumbe vyote vinavyokaa kwenye anga, bahari, na nchi. Mimi ni
mtawala wenu, hamna mamlaka ya kunitawala haikuwa hivyo tangu zamani. Ninawaseta mrudi
kuzimu mlikotoka kwa jina la Yesu. Ninaamuru kuanzia sasa hamtanidhuru kwa damu
ya Yesu. Viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekana hamna uwezo wa
kunitawala kwa jina la Yesu Kristo. Ninabeba mamlaka kama mtawala, ninawateketeza
na uwezo wenu wa kudhuru kwa damu ya mwanakondoo. Nimepewa amri juu ya pepo
wachafu na viumbe vyote, ninaangamiza kila nguvu iliyo juu yenu ninyi viumbe wa
kishetani na kichawi na waganga wa kienyeji, ninawakausha kwa damu ya Yesu Kristo.
Niwaondolea ule uwezo wa kuidhuru Tanzania kwa mamlaka ya damu ya mwanakondoo.
Ninaiachilia damu ya mwanakondoo kwenye mipaka yote ya Tanzania, damu inenayo
mema, ninainyunyizia kwenye mipaka yote ya Taifa la Tanzania na juu ya watu
wake wote. Iwalinde dhidi ya magonjwa yote kwa jina la Yesu. Kwa mamlaka ya Jina la Yesu kristo ninatawala viumbe
vvyote vilivyomo baharini, angani na kwenye nchi kwa damu ya Yesu. Ninatawala
uchumi wa nchi, utajiri wa nchi; ninautawala kwa jina la Yesu Kristo. Ninatawala
kwa jina la Yesu Kristo, ninatawala na kuvitiisha viumbe vyote vya magonjwa kwa
jina la Yesu Kristo. AMEN!
Jumatano, 16 Julai 2014
UFUFUO NA UZIMA KAWE J'PILI JULAI 13, 2014- SOMO: MASHIMO YA KICHAWI
MCHUNGAJI KIONGOZI JOSEPHAT GWAJIMA
SOMO: MASHIMO YA KIROHO/KICHAWI
I.
Utangulizi
Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima |
Kuna ulimwengu wa aina mbili ; ulimwengu unaoonekana kwa
macho na ulimwengu usio onekana kwa macho. Kwanini unaitwa ulimwengu wa roho
kwasababu unakaa rohoni na pia kila kinachokaa kule ni roho mfano gari, mtu,
mti, nyumba ni roho zinazogeuka kuwa vitu na watu wengi wanaupata kupitia ndoto
na ukitaka kwenda kule ni mpaka uwe rohoni na vitu vingi vinaanzia rohoni na
uwezo wako wa kushindana kwenye ulimwengu waroho ndio uwezekano wako wa kupokea
Baraka za mwili. Wakristo wengi hawatambui taifa linaweza kushikiliwa rohoni,
uso wa mtu unaweza kushikiliwa rohoni hata nyumba inaweza kushikiliwa rohoni.
II.
SOMO.
Waefeso1:33 Atukuzwe
Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni,
katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo; 20 aliotenda
katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika
ulimwengu wa roho;
Waefeso2: 2 ambazo
mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme
wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; 6 Akatufufua
pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo
Yesu;
Waefeso3: 10 ili
sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na
falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho;
Waefeso6: 12 Kwa
maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na
mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika
ulimwengu wa roho.
Akitolewa shimoni |
Zamani kwenye agano la kale kulikuwa na mashimo walikuwa hawana magereza kama ya leo
bali yalikuwa ni mashimo marefu sana na ulipokuwa unafanya kosa unatupwa
shimoni na kuna aina nyingine ya mashimo ambayo yalikuwa yanawekwa wanyama kama
danieli alivyotupiwa kwenye tundu la Simba, na mashimo mengine yalikuwa yana
maji na ndio maana ya lile andiko watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa
wamefichwa mashimoni wala hapana aokoaye wamekuwa mateka wala hapana asemaye rudisha. Lakini kwenye agano jipya
hakuna mashimo kama hayo bali kuna mashimo ya kiroho ya kichawi ambayo
yamejengwa kwenye ulimwengu wa kiroho na wachawi ili kuwaweka watu na ndio
maana yesu alipokuja duniani alisema roho wa Bwana yu juu yangu amenitia mafuta
niwatangazie wafungwa kufunguliwa kwao.
Ufunuo9: 1 Malaika
wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya
nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.
2 Akalifungua shimo la kuzimu; moshi ukapanda kutoka mle shimoni kama moshi wa tanuru kubwa; jua na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimoni.
2 Akalifungua shimo la kuzimu; moshi ukapanda kutoka mle shimoni kama moshi wa tanuru kubwa; jua na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimoni.
Shimo la kuzimu ndio makao makuu ya shetani ni shimo mama
lipo kwenye ulimwengu wa rohoni ni refu lisilo onekana linaitwa kuzimu linaitwa
shimo la uharibifu, shimo la kifo na hata mashetani walipoasi walitupwa kwenye
shimo hilo 2petro2: 2 Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa hao
njia ya kweli itatukanwa.
na hilo shimo ndilo shimo wenye hekima za utawala wanakwenda kuchukua kule au umaarufu wa utawala au nuru ya utawala na sisi tuliookolewa tunapahali petu tunapata ambapo ni Mbinguni juu. Ndio maana Yesu alisema amelijenga kanisa juu ya mwamba na milango ya kuzimu haita lishinda.
na hilo shimo ndilo shimo wenye hekima za utawala wanakwenda kuchukua kule au umaarufu wa utawala au nuru ya utawala na sisi tuliookolewa tunapahali petu tunapata ambapo ni Mbinguni juu. Ndio maana Yesu alisema amelijenga kanisa juu ya mwamba na milango ya kuzimu haita lishinda.
Luka 8: 26 Wakafika
pwani ya nchi ya Wagerasi, inayoelekea Galilaya.
27 Naye aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mji ule, mwenye pepo, hakuvaa nguo siku nyingi, wala hakukaa nyumbani, ila makaburini.
28 Alipomwona Yesu alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi usinitese.
29 Kwa kuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu yule. Maana amepagawa naye mara nyingi, hata alilindwa kifungoni na kufungwa minyororo na pingu; akavikata vile vifungo, akakimbizwa jangwani kwa nguvu za yule pepo.
30 Yesu akamwuliza, Jina lako nani? Akasema, Jina langu ni Jeshi; kwa sababu pepo wengi wamemwingia.
31 Wakamsihi asiwaamuru watoke kwenda shimoni.
27 Naye aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mji ule, mwenye pepo, hakuvaa nguo siku nyingi, wala hakukaa nyumbani, ila makaburini.
28 Alipomwona Yesu alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi usinitese.
29 Kwa kuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu yule. Maana amepagawa naye mara nyingi, hata alilindwa kifungoni na kufungwa minyororo na pingu; akavikata vile vifungo, akakimbizwa jangwani kwa nguvu za yule pepo.
30 Yesu akamwuliza, Jina lako nani? Akasema, Jina langu ni Jeshi; kwa sababu pepo wengi wamemwingia.
31 Wakamsihi asiwaamuru watoke kwenda shimoni.
Miji inaweza kuwa na mashimo ya rohoni na utakaposhughulika
na shimo hilo unauteka mji. Mashetani yanamwambia Yesu tunaomba usitupeleke
shimoni kwahiyo kila mji kuna mashimo ya kichawi na kuna makao makuu ya utawala
wa kishetani matatu nayo ni 1. Shimo la kwanza kubwa la mashetani ni katika
nchi “Ufunuo12: 7 Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika
zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika
zake;
8 nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni.
9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. ” 2. Katika maji mnyama anapeenme mbili anatokea baharini [pembe ya kwanza ni utawala wa kidini na utawala wa kishetani mwana kondoo maana yake anaonekana mwema] 3. Angani Belzebuli mama wa makahaba anayerutubisha uovu kwa uasherati.
8 nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni.
9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. ” 2. Katika maji mnyama anapeenme mbili anatokea baharini [pembe ya kwanza ni utawala wa kidini na utawala wa kishetani mwana kondoo maana yake anaonekana mwema] 3. Angani Belzebuli mama wa makahaba anayerutubisha uovu kwa uasherati.
Kuna vishimo vidogovidogo kwenye nchi na unapoona mtu
amefariki unasema ameitwa na Bwana kumbe amewekwa mule ndani. Mashimo haya ya
kichawi ni kitu gani hasa?. Tulishawahi kujifunza shetani anaweza kuvaa umbo la
mtu, malaika walienda kwa Abrahamu wakala wakaongea.
Mashetani ni malaika
waovu ndio maana kwenye biblia imeaandikwa kuzimu na mauti itawatoa watu wake
na ni shimo lisilo na kina na wasiookolewa wote huenda huko.
Mtu ni roho inayokaa ndani ya nyumba inayoitwa mwili na wanapouzika mwili wanakuwa wameuzika mwili
pekee lakini mwenyewe hayupo pale tena.
Luka16: 19 Akasema,
Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani
safi, na kula sikuzote kwa anasa.
20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.
22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.
22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
Mtu anapo kufa anachukuliwa na malaika na anatoka ndani ya
mwili anapelekwa kwenye shimo la umilele anasubiri siku ya mwisho atupwe kwenye
moto ”na walio kuzimu wanatoka” ila jehanum ndio hawatoki. Sasa unapokuwa
umelala unakuwa umechukuliwa na wachawi na kupelekwa shimoni na hata mikono
inaweza ikachukuliwa, na ndio maana mtu anapokuwa rohoni analishwa chakula cha
kiroho mfano Elia alilishwa mkate na malaika akala akaenda.
Kuna chakula cha rohoni na Neno la Mungu nalo ni chakula cha
roho na wachawi nao wanachakula chao Danieli1:7- chakula kimenuiziwa mpaka
kimejaa nguvu za rohoni upande wa shetani ndio maana watu wanaota wanakula
chakula usiku kimenuiziwa magonjwa, balaa, mikosi, utasa nk. Pia kuna namna ya
rohoni uso wako unaondolewa, akili inaondolewa inafichwa kwenye mashimo lakini
ukiwa duniani unaanza kuona mara magonjwa ya moyo mara kukataliwa “katika jina
la Yesu leo nina amuru ikiwa mimi mwenyewe nimewekwa kwenye shimo ninaamuru leo
ninahama kwa jina la Yesu.”
Kwanini wachawi wanamchukua mtu na kumweka kwenye mashimo ni
kwasababu unakuta mtu mafanikio yake yamewekwa kwenye uso wake na wachawi wanaweza
wakauchukua uso wakaenda kuutumia na mwingine. wanaweza wakaichukua akili nayo na kuitumia.
Mhubiri9: 11 Nikarudi,
na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala
si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si
watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini
wakati na bahati huwapata wote.
Kila mtu ana eneo lake la baraka mwingine amewekewa kwenye
kinywa wengine kwenye matumbo yao wengine kwenye muonekano na ndio maana wale
wenye Baraka zao kwenye uzazi unakuta wanapatwa na shida kwenye kuolewa na hiyo
ni kazi ya wachawi wanachukua nyota za biashara na shetani ni mwizi na kazi
yake ndio hiyo ya kuiba “sema kwa damu ya Yesu mahala
popote walipoweka tumbo la uzazi, macho yangu, kinywa changu, akili yangu au
chochoto kwenye mashimo kwa damu ya Yesu mashimo yote yaliyowekwa na familia
yangu mashimo yaliyowekwa akili yangu napiga mashimo kwa jina la Yesu naamuru
kuanzia sasa akili yangu njoo kwa jina la Yesu.
Ukimwona mtu anamatatizo sana na umekaa naye unazungumza nae
kumbe ameshachukuliwa ama amechukuliwa kitu ndani yake uso, mikono, miguu
Isaya42:22
Luka4:1-
Hakika Mungu ni mwema |
Shetani anamwambia Yesu atampa mali ila masharti yake
amsujudu lakini zaburi24 vitu vyote viijazavyo nchi ni mali ya Bwana. Sasa
shetani na wachawi wanauwezo wa kuona Baraka na kusudi watu walilowekewa na
Mungu ili watumie kufanikiwa na wachawi wanachukua akili za watu na kwenda
kumpa mtu mwingine. Mungu anawapa watu vitu mbali mbali na tangu ukiwa mtoto
mdogo wanakuja wanakuibia na kuviweka shimoni na kumpa mtu mwingine, unakuta
mtu anatabia mbaya lakini anaolewa lakini wewe unatabia nzuri hauolewi kumbe umeibiwa
uso wako Mungu ni Mungu wa kurudisha aliwarudisha waisraeli toka utumwani misri
na ndiomaana anasema nitakurudishia afya yako, na anaweza kukurudishia afya
yako tena, familia yako, bihashara yako. Mungu ni muumbaji na shetan ni mwizi.
Watu wanaofanikiwa wanasiasa, wenye magari hawana Mungu wana
mganga wake wa kienyeji. Na kuna watu wanaenda kwa mganga na kumwambia wanataka
uongozi na mganga anamwambia njoo kesho na mganga huyu anatoka usiku anakwenda
anazunguka anamkuta mtu haombi ana nyota ya uongozi anaichukua nyota hiyo,
anatoka anaenda kwa mwingine kuchukua nyota ya kupendwa, anatoka anakwenda kwa
mwingine anachukua nyota ya kuongea. Sasa wale waliochukuliwa nyota zao
wanaamka hawajui chochote. Unakuta mtu anamatatizo anatamani kufanya biashara
lakini hawezi kuisimamia akafanikiwa kumbe wamechukua akili ya bihashara
wameficha kwenye mashimo na unamwona mwingine anafanikiwa na hamtumikii Mungu
kumbe amepata toka shimoni. sema kwa jina la Yesu kuanzia sasa shimo lolote
lenye nyota yangu rudisha kwa jina la yesu.
Makaburini zimelala hazina nyingi ambazo hazijafanyika hapa
duniani na hatari kubwa kuliko yote katika maisha ni kufa kabla hujatumia
kipaji ulichopewa na Mungu na elimu ni nzuri na ni ya lazima lakini haikuhakikishii
mafanikio bali ni taa inayo kusaidia upate kutumia kipaji ulichopewa na Mungu.
Kanisani ni center ya walioteswa ni sehemu ya kuwa huru kwa walioonewa. Kuna
namna ambayo Mungu anataka uwe na wachawi nao wanaona vile unavyotakiwa kuwa na
wanavichukua na unatakiwa uwe mtu wa kupigana kwamaana kushindana kwetu si juu
ya damu na nyama maana yake kuna mamlaka za kichawi falme za kichawi
tunazotakiwa tupigane nazo ndizo zinazotusumbua. Kuna jambo ambalo wewe
umezaliwa ili ulitimize na unapolitimiza jambo hilo na ukafa wewe ni mtu
uliyefanikiwa kwa hiyo kuna mtu mwingine amefanikiwa nusu na unaweza
usifanikiwe kumbe kuna wanaozuia. Katika jina la yesu hakuna atakaye zuia kila
nilichokusudiwa nikifanye kabla sijafa kwa jina la Yesu.
Kwenye kitabu cha yeremia Yeremia anaambiwa na Mungu tangu
tumboni nalikujua na kuna watu Mungu amewachagua wawe viongozi na unakuta mama
tangu mimba ile imeanza inamatatizo tangu tumboni na unakuta umezaliwa na
uunamatatizo lakini kuna jambo lilikuja katikati pale ndilo likaleta maisha
uliyo nayo na usishukuru kile ulicho nacho ni mapenzi ya wakala wa kishetani
ndio wamekufanya uwe hivyo. Ile akili ya bihashara yako inatumiwa na watu
mahali fulani ndio maana shetani anamwambia Yesu nikupe mali lakini hana lolote
anataka kuwaibia watu ili aje ampe yesu.
Pengine familia yako imeibiwa au kitu chochote utajuaje
umeibiwa? Ndoto unazoziota au unakimbizwa maana yake mashetani yanakufuatilia
au uko kwenye kichaka maana yake uko kwenye kichaka cha kishetani unapoota
unafanya mapenzi na mtu maana yake unaushirika na mashetani unapoota umevunjika
miguu maana yake kuna jambo litatokea upatwe na upofu na kila ndoto unayoota ni
jinsi ulivyo rohoni unatakiwa uziharibu ndoto zote mbaya.
Mungu anaongea na watu kupitia ndoto na hakuna ndoto ambayo
haina maana na kwenye kitabu cha hatari ya ndoto utakuta unatakiwa ufanye nini
unapoota.
Na unatakiwa uchukue hatua na biblia inasema adui wa mtu ni
wale wa nyumbani mwake na unakuta mtu ameibiwa nyota yake na mjomba lakini
hajui unatakiwa uamue kwa jina la Yesu na utashangaa baada ya wiki moja au
mbili utajiri wake unaporomoka wote na anabaki mtupu. Pia mwingine ameibiwa
akili na inatokea anashindwa kusoma kwasababu wanajua atafanikiwa kupitia
masomo. Pia ndoa nyingine zina baraka wale wanaowaonea wivu wanatengeneza jambo
na ndoa yake inavurugika.
Maelfu ya watu wakipiga mashimo ya kichawi |
III.
MAOMBI.
Kwa jina la Yesu nayapiga mashimo ambayo yameweka uso wangu,
nayateketeza kwa damu ya yesu mashimo ya kuzimu mashimo ya ukoo mashimo ya
familia mashimo ya mashetani mashimo ya wachawi nayapiga kwa jina la yesu
nayashambulia mashimo ya ukoo kila shimo lililochimbwa kwa ajili ya kuweka vutu
vya ukoo kila shimo lililohifadhi
familia yangu nayapiga kwa jina la yesu kristo, nafanya vita na walinzi wa
mashimo nawateketeza kwa moto wa Mungu. Shimo liloshikilia uso wangu nalipiga kwa
jina la Yesu, nayashambulia kila mashimo ya kichawi kwa jina la yesu mashimo
yote ya rohoni natetekeza kwa jina la yesu nashambulia shimo la kuzimu lililo
meza akili zangu kwa jina la Yesu shimo lililoiba uso wangu naliamuru tapika
kwa jina la Yesu shimo lililomeza mvuto wangu naamuru kwa jina la Yesu tapika.
Anza kuita chochote ambacho unaona kimeibiwa ita njooooooooooooo
kwa jina la Yesu kila kilichofichwa kwenye mashimo njooooooooooooo kwa jina la
Yesu, akili iliyofichwa kwenye mashimo njoooooooooooooo kwa jina la Yesu, elimu
iliyofichwa njooooooooooooo kwa jina la Yesu, kinywa kilichoibiwa njooooooooooo
kwa jina la Yesu, uso uliofichwa shimoni njooooooooooooooo kwa jina la Yesu, Baraka
zilizofichwa kwenye mashimo njooooooooooooo kwa jina la Yesu, nafsi za wanadamu
njoooooooooooooooooo kwa jina la Yesu kristo……………………………………………
Amen!
Posted by
Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima
at
6:08 AM
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)