http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 6 Septemba 2013

ALIYEZIMIA MIAKA 19 AZINDUKA, HAELEWI KINACHOENDELEA


MTU mmoja aliyepata ajali na kuzimia kwa miaka 19 ameamka katika uzingizi wake na kujikuta akishangaa nini kinaendelea duniani.
Mtu huyo raia wa Poland alizimika wakati chama cha kikomunisti kipo madarakani na siasa ya ujamaa ikitawala na kuamka chama hicho kikiwa hakipo madarakani na ujamaa ukiwa umekufa.
Wakati anazimika chakula na umeme vilikuwa vikipatikana kwa resheni na kuamka kila mtu akiw abize kusaka chakula manake serikali haitoi tena wala haigawi kwa mfumo wa kila mtu awe nacho japo kidogo.
Televisheni ya Poland ilimuonesha mfanyakazi huyo wa zamani wa reli Jan Grzebski, 65, akielezea kushangaa kwake na mabadiliko aliyoyakuta baada ya kuamka.
Inadaiwa kwamba aligongwa na treni mwaka 1988.
Anaamini kuamka kwake kunatokana na mapenzi makubwa aliyokuwa nayo mkewe Getruda ambaye alikuwa anamhudumia kipindi chote cha yeye kuwa usingizini. Madaktari walisema kwamba nafasi ya kuishi kwa mtu huyo ni miaka miwili au mitatu tu.
Alisema kuamka kwake kumemfanya aone mabadiliko mengi na hasa kujaa kwa vituj madukani, watu wanatamba na simu za mikononi njiani hali inayomfanya aone kizunguzungu .
"Now I see people on the streets with mobile phones and there are so many goods in the shops it makes my head spin," he told Polish television.
A comatose patient is in a profound state of unconsciousness which renders them unaware of both self and the world around them, and from which they cannot be roused.
Although those in a coma do not respond to stimuli in a meaningful way, contrary to popular belief they do not always lie quiet and still - in some cases they can move, open their eyes and even talk.
Fall of communists
"It was Gertruda that saved me, and I'll never forget it," Mr Grzebski told news channel TVN24 of his recovery.
Mrs Grzebski is reported to have moved her husband every hour to prevent bed sores.
"I cried a lot, and I prayed a lot," Mrs Grzebski said on Polsat television.
"Those who came to see us kept asking: 'When is he going to die?' But he's not dead."
When Mr Grzebski had his accident Poland was still ruled by its last communist leader, Wojciech Jaruzelski.
"When I went into a coma there was only tea and vinegar in the shops, meat was rationed and huge petrol queues were everywhere," Mr Grzebski said.
The following year's elections ushered in eastern Europe's first post-communist government.
Poland joined the Nato alliance in 1999 and the European Union in 2004.
"What amazes me today is all these people who walk around with their mobile phones and never stop moaning," said Mr Grzebski.
"I've got nothing to complain about."