http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 3 Januari 2014

Kwetu Mbambabay ndivyo kulivyo, angalia hapa

 Blogger wetu (kushoto) akiwa na mdau, Philipo pembezoni mwa ufukwe (Beach) ya  Mbamba bay
 Blogger Daniel Mkate akiwa mchangani katika ufukwe wa Mbamba bay
 Mvuvi akiwa na mtumbwi akitoka kusaka kitoweo cha samaki katika ufukwe wa Mbambabay
Wadau wakiwa katika mitaa ya Mbamba bay wakielekezana jambo