1. Hali ya barabara ilivyo mbaya kutoka Ifakara kuelekea Mbingu, magari kuharibika si jambo la kawaida
2. Malori yanashindwa safari kutokana na uharibifu wa barabara, hapa linacheua mzigo
3. Barabara zimegeuka bahari kufuatia mvua zilizonyesha hivi karibuni
4.Gari hili limeshindwa kuhimili ubovu wa barabara, abiria wanateremka ili kulisuma liendelee na safari
5. Daraja linalounganisha Ifakara na Mbingu, likiwa limeharibika hata magari kutoruhusiwa kupita kutokana na mvua zilizonyesha na kuharibu miundombinu ya barabara hiyo.
6.Ni ugumu kupitisha gari dogo katika barabara hiyo, lakini trekta zinatumika kusafirishia abiria
7. Madereva 'wabishi' kama mwenye gari hili aina ya NOAH alilazimisha gari lake kupita katika barabara hiyo iliyoharibika sana