Kivuko cha mto Kilombero, MV Kilombero II, kimekuwa kikifanya kazi ya kuvusha watu na mali zao, kikiwa hakina msaidizi. Hata hivyo, pamoja na serikali kuwapa zabuni Wachina kujenga daraja la mto huo, kazi yake inaenda kwa kusuasua toka mvua za masika zilizoanza.
Hapa basi la Al Saedy likiingia katika kivuko hicho kuelekea Malinyi, Mahenge
1. BASI LA AL SAEDY LIKIINGIA KATIKA PANTONI LA MV KILOMBERO II
2. WASAFIRI WAKIWA NDANI YA MV KILOMBERO 11 PAMOJA NA MAGARI
3. INGAWA KIVUKO NI KIDOGO, BADO KINAVUMILIA MIZIGO MIKUBWA PAMOJA NA WATU