KUMETOKEA hamaniko kubwa katika chuo kikuu cha China wakati Balozi anayepeleka ujumbe wa ustaraabu katika soka na kuondokana na rushwa David Beckham alipojitokeza.
Wakati akiingia katika eneo la chuo hicho, watu zaidi ya 1000 waliojipanga kumuona waliwazidi nguvu polisi, kuvunja ukuta hali iliyosababisha hekaheka kubwa aliyoleta majeruhi.