http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 29 Machi 2013

Maiti 17 wapatikana


Kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la ghorofa 16 jana, mpaka kufikia asubuhi ya leo, maiti 17 wamefukuliwa kutoka katika kifusi.
Hiyo ni kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadik

Tutaendelea kuwaletea habari zaidi..... 

Mabaki ya jengo lililoporomoka mapema leo asubuhi jijini Dar

Mabaki ya jengo lililopo katika mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es Salaam, linavyoonekana baada ya kuporomoka asubuhi ya leo.
 Baadhi ya hasara zilizopatikana baada ya kuanguka kwa jengo hilo la ghorofa 15. Mwenye gari hili nae yalimsibu
Ulinzi nao uliimarishwa...!
Kwa mbali jinsi hali ilivyokuwa baada ya kuporomoka kwa jengo hilo!

HOUSE 4 SALE KUNDUCHI MTONGANI


Two House’s  in One with title deed
Both house has two bedrooms
Modern kitchen
Toilet and bathroom together
Sittingroom
·         Has Askari house at back with one bedroom
·         Generator room
Underground simtank
The plot is 500m²
The price is 135,000usd
For more information contact: Joyce M. Voldseth Tel: +4798626370 or e mail: joymsumba@hotmail.com

Family house with title deed
Two bedrooms  inside, with master bedroom
Modern Kitchen with the place for gas side
Tv  room, Home Office, Sitting room, Dining room
Guestroom outside self contained with small kitchen inside
Large veranda in the front
Veranda upstairs with roof
Two Garages with store
Underground water tank
·         Servant Quarter at the back with one bedroom, sittingroom, small kitchen and toilet and bathroom inside.
·         Askari room.
The plot  is 900m²
The price is 165,000 usd For more information contact: Joyce M. Voldseth Tel: +4798626370 or e mail: joymsumba@hotmail.com