Kwetu Mbamba-bay
Kwa habari mbalimbali za kijamii, michezo na burudani
http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo
Tangaza nasi:
mkatedaniel@gmail.com
,
+
255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594
Ijumaa, 29 Machi 2013
Maiti 17 wapatikana
Kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la ghorofa 16 jana, mpaka kufikia asubuhi ya leo, maiti 17 wamefukuliwa kutoka katika kifusi.
Hiyo ni kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadik
Tutaendelea kuwaletea habari zaidi.....
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani