http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 29 Machi 2013

Mabaki ya jengo lililoporomoka mapema leo asubuhi jijini Dar

Mabaki ya jengo lililopo katika mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es Salaam, linavyoonekana baada ya kuporomoka asubuhi ya leo.
 Baadhi ya hasara zilizopatikana baada ya kuanguka kwa jengo hilo la ghorofa 15. Mwenye gari hili nae yalimsibu
Ulinzi nao uliimarishwa...!
Kwa mbali jinsi hali ilivyokuwa baada ya kuporomoka kwa jengo hilo!