KATIBU MKUU MSAIDIZI WA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO, PROF. ELISANTE OLE GABRIEL, LEO ALITEMBELEA CHUO CHA FUTURE WORLD VOCATIONAL KILICHOPO ULONGONI 'A' GONGO LAMBOTO.
CHUO HICHO KINAFADHILIWA NA SHIRIKA LA PLAN INTERNATIONAL PAMOJA NA SERIKALI YA CANADA.
Pro. Elisante ole Gabriel akizungumza jambo huku akimuonyesha mratibu wa fedha wa Plan International, Stella Tungaraza (kulia), wakati akizungumza na wanachuo wa Future World leo asubuhi.
Wanachuo wa Future World wakimsikiliza kwa makini Prof. Gabriel.
Baadhi ya wafanyakazi wa Plan International ni miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo.
Prof.Gabriel akisisitiza jambo.
Prof. Gabriel akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi na wanachuo wa Future World leo chuoni hapo.
Simon Ndembeka (shati nyekundu) mmoja wa maafisa wa Plan International akiwa pamoja na katibu msaidizi, Prof.Gabriel wakionyesha ishara ya mshikamano na baadhi ya wanachuo wa Future World kilichopo Ulongoni A Gondo lamboto. (Picha zote: Daniel Mkate)