http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 22 Novemba 2013

NGUGI WA THIONG'O AWAUMBUA VIONGOZI WA KIAFRIKA KUTOENZI LUGHA ZAO

Mwanazuoni na Mwanafasihi mahiri Duniani, Ngugi wa Thiong'o amewaumbua wasomi na viongozi wa Afrika kwa kukimbilia lugha za kigeni na kutoenzi zile za Kiafrika.
Ngugi ametoa Muhadhara leo katika CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (UDSM).

 1. Prof. Ngugi wa Thiong'o akitoa mhadhara katika ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo.
 2. Ngugi wa Thiong'o
 3. Ngugi akiendelea kutoa mhadhara kwa lugha ya Kiswahili
 4. Ngugi akifurahia jambo
 5.Baadhi ya washiriki katika mhadhara uliotolewa na mwanazuoni Ngungi wa Thiong'o
 6. Watu mbalimbali wakiwemo Maprofesa na wahadhili mbalimbali wakimfuatilia kwa makini Ngugi
 7. Hawa nao walikuwepo
  8. Juu na chini ya ukumbi wa Nkrumah walifurika watu kumsikiliza mwanazuoni na mwanafasihi Ngugi wa Thiong'o