1. Mtunzi wa albamu ya kaswida ya kundi la Swautun Naqy akitumbuiza leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja leo
2. ACP Kova akiandika jambo huku Shehe wa Mkoa wa Dar, Alhaji Musa Salum akisikiliza kwa makini kaswida
3. ACP Kova akizungumza jambo katika uzinduzi wa albamu ya Kaswida leo Mnazi mmoja jijini Dar
4.ACP Kova akiwa ameishikiria albamu huku Alhaji Musa akimwangalia
5. Kamanda Kova akiwa ameshikiria albamu na pesa Sh.50,000 taslimu alizonunulia albamu hiyo ya kaswida ya kuombea amani nchini.