http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 9 Agosti 2013

Meya Mwenda awapa 'tiketi' wakazi waliokombolewa mashamba yao

1. Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kushoto) akisaini moja ya mikataba na wakazi waliokombolewa maeneo yao huko Madale, Nakasangwe, Nakalekwa, Kazaroho, Kinondo na Boko.
Katikati ni mwenyekiti wa wakazi hao waliokombolewa maeneo yao toka mikononi mwa wavamizi, Seif Maungu na kulia ni Afisa Utumishi wa Manispaa ya Kinondoni, Godfrey Mugumi aliyesaini kwa niaba ya mkurugenzi wa manispaa iyo, Mussa Natty.




2. Seif Maungu (kushoto) akisaini mkataba, huku katikati akiwa Afisa Utumishi wa Manispaa ya Kinondoni, Godfrey na kulia ni katibu wa wakazi hao waliokolewa maeneo yao, Kosta.
3. Wakazi waliookolewa maeneo yao wakiwa katika ofisi ya Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza mwenyekiti wao akiwasomea yaliyomo ndani ya mkataba waliowekeana na Manispaa hiyo