Kwetu Mbamba-bay
Kwa habari mbalimbali za kijamii, michezo na burudani
http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo
Tangaza nasi:
mkatedaniel@gmail.com
,
+
255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594
Jumatano, 17 Aprili 2013
BREAKING NYUUUZZZZ!!! Bi Kidude hatunaye tena!
Gwiji la muziki hapa Tanzania BI Kidude amefariki dunia huko Zanzibar leo baada ya kuugua kwa muda mrefu. Habari kamili mtazidi kuzipata.
Mungu ailaze Roho ya Bi Kidude mahali pema peponi. Amen
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani