http://www.mkcomputertweaks.com/mkgroup/fkbmksb.gifMatangazo

Tangaza nasi: mkatedaniel@gmail.com, +255 7666-00 69 70, +255 655-00 69 71, +255 787- 249594

Usilikose kila Jumapili

Ijumaa, 5 Aprili 2013

Wanaume wanasononeka zaidi kukosa watoto

*Wanaume huumia zaidi wakikosa watoto katika ndoa

Utafiti mpya unaonyesha kuwa kiwango cha elimu kina uhusiano mkubwa na urefu wa binadamu. Ukiwa na elimu hafifu au ulitoroka shule ya msingi au hukwenda kabisa basi uko mashakani wakati wa uzee wako utakuwa umepungua urefu kwa sentimita 3 au zaidi.

*Lakini jipya zaidi, Je! Unafahamu kuwa wanaume ndio wanaosononeka zaidi au kuhuzunika sana wakikosa watoto ukilinganisha na wanawake wakiwa katika ndoa?

Chanzo: BBC (audio)