Kunywa pombe Uzeeni ni hatari kwa akili.
Mzee huanza kuwa na matatizo ya kusahau sahau na kuonekana mkosa hekima na busara.
AIDHA; Wataalam nchini Uingereza wamegundua kuwa muziki mwaafaka ni mtamu hata zaidi ya starehe ya NGONO...Muziki unamaliza uasherati.
Source: bbc